iqna

IQNA

Iran na Afrika
TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliyeko safarini Bamako mji mkuu wa Mali ameipongeza nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kwa juhudi zake kubwa za kupambana na makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3475671    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/24